As record labels falter, many established underground artist are profiting exuberantly off what is being referred to as the "New Chitlin Circuit". The idea of the "Chitlin Circuit" stems from what consisted of acts with regional notoriety who toured southern "juke joints" and east…



Justin Bieber nominated for a BET Award? Seems like an odd match, but the teen superstar is in fact nominated for Best New Artist at the upcoming awards show. Biebs will face off against Young Money, Wale, Melanie Fiona and Nicki Minaj. “He makes the type of music our audience likes,” Stephen Hill, BET’s President of Music Programing and Specials, said in a statement. “Bieber has crossed the color boundaries the same way that hip-hop has crossed the boundaries the other way for a number of years.” As a newcomer to the music world, Justin has already made big-time connections in the R&B and hip-hop fields, working with artists like Usher, Akon and Ludacris. R&B moguls Jay-Z and Beyonce scored five and four nominations respectively.Queen Latifah will host the BET Awards June 27.



IJUMAA WIKIENDA Report - XXL Teen extra Awards inazidi kuleta mzozo, categories ni nyingi na kila moja inavutia ila kuna moja ipo interesting kwa namna yake, hii ni Music Website of the Year ambayo imepewa herufi D.
Katika category hiyo, vichwa kadhaa vimesimamishwa, DJ Choka (D2), Bongo5 (D3), DJ Fetty (D4), Babkubwa (D5) na G5 Click (D1). Kwa kuichambua category hiyo, this day tunao G5.
Huu ni mtandao unaoundwa na vijana wadogo wane ambao wote wanagonga
shule pande za UG ndani ya Kampala International University na NCC
Learn IT.
Madogo wanaounda G5 ni Mustapha Suleiman, Ombeni Phiri, Desy Ernest na Nelson Kisanga
ambao kupitia ubunifu wao, wameweza kuitengeneza G5click.com
ambayo itavuma anga za kimataifa kiasi cha wengine
kuifananisha na Facebook.
Usipime! G5 Click limeleta mapinduzi kwa kasi yake ya kupasha habari za
burudani kwa wakati kupitia mtandaoni. Ndude zinazoifanya site hiyo
ivutie ni kama kuwepo kwa ngoma mpya na kali on time, mashabiki
kuwasiliana na kuchati, kupata historia za wasanii, pia kujionea video
na picha za matukio mbalimbali.
Akigonga matamshi kwa niaba ya wenzake, Mustapha alisema nasi wikiendi iliyopita kuwa wapo serious ndiyo maana wanagonga mambo
makubwa na akaongeza: “Hivi sasa tunajipanga kwa ajili ya kutambulisha
njia mpya ya kutangaza, kusambaza na kuuza kazi za wasanii ili
waondokane na kilio plus lawama kwa mdosi.” Jinsi ya kupiga kura kwenye
category hiyo, unaandika SMS yenye neno TN unaacha nafasi ikifuatiwa
na namba yake ya utambulisho (code) halafu unatuma kwenda 15551.
Unaikubali G5? Gonga SMS yenye maandishi, TN D1 halafu unaitupa kwenda
namba 15551. Pia unaweza kutembelea Nipe5.com
ili uweze kupiga kura kwa internet.

XXL Teen extra Awards inazidi kuleta mzozo, categories ni nyingi na kila
moja inavutia ila kuna moja ipo interesting kwa namna yake, hii ni
Music Website of the Year ambayo imepewa herufi D.
Katika category hiyo, vichwa kadhaa vimesimamishwa, DJ Choka (D2), Bongo5 (D3), DJ Fetty (D4), Babkubwa (D5)
na G5 Click (D1). Kwa kuichambua category hiyo, this day tunao G5.
Huu ni mtandao unaoundwa na vijana wadogo wane ambao wote wanagonga
shule pande za UG ndani ya Kampala International University na NCC
Learn IT.
Madogo wanaounda G5 ni Mustapha Suleiman, Ombeni Phiri, Desy Ernest na Nelson Kisanga
ambao kupitia ubunifu wao, wameweza kuitengeneza G5click.com
ambayo itavuma anga za kimataifa kiasi cha wengine
kuifananisha na Facebook.
Usipime! G5 Click limeleta mapinduzi kwa kasi yake ya kupasha habari za
burudani kwa wakati kupitia mtandaoni. Ndude zinazoifanya site hiyo
ivutie ni kama kuwepo kwa ngoma mpya na kali on time, mashabiki
kuwasiliana na kuchati, kupata historia za wasanii, pia kujionea video
na picha za matukio mbalimbali.
Akigonga matamshi kwa niaba ya wenzake, Mustapha alisema nasi wikiendi iliyopita kuwa wapo serious ndiyo maana wanagonga mambo
makubwa na akaongeza: “Hivi sasa tunajipanga kwa ajili ya kutambulisha
njia mpya ya kutangaza, kusambaza na kuuza kazi za wasanii ili
waondokane na kilio plus lawama kwa mdosi.” Jinsi ya kupiga kura kwenye
category hiyo, unaandika SMS yenye neno TN unaacha nafasi ikifuatiwa
na namba yake ya utambulisho (code) halafu unatuma kwenda 15551.
Unaikubali G5? Gonga SMS yenye maandishi, TN D1 halafu unaitupa kwenda
namba 15551. Pia unaweza kutembelea Nipe5.com
ili uweze kupiga kura kwa internet.



IJUMAA Newspaper REPORTS:- Kile kilio cha muda mrefu cha wasanii kulalamikia kulizwa na mdosi katika usambazaji wa kazi zao kinaelekea kutatuliwa, na watatuzi si wengine bali ni vijana wadogo ambao ndiyo wakurugenzi wa site ya wajanja ya G5 Click. Blogu hiyo ambayo ni namba moja nchini kuanzia layout, ripoti za muziki wa kiwanja na ndani ya nchi, wametangaza kuwa hivi sasa wanajipanga ili waweze kusambaza kazi za wasanii online.
Madogo wanaounda G5 ni Mustapha Suleiman, Ombeni Phiri, Desy Ernest na Nelson Kisanga ambao kupitia ubunifu wao, wameweza kuitengeneza G5click.com ambayo inavuma anga za kimataifa kiasi cha wengine kuifananisha na Facebook. Usipime! Akigonga matamshi kwa niaba ya wenzake, Mustapha alisema: “Tunajipanga kwa ajili ya kutambulisha njia mpya ya kutangaza, kusambaza na kuuza kazi za wasanii ili
waondokane na kilio plus lawama kwa mdosi.” Mbali na hilo, mzozo wa XXL Teen extraAwards unaendelea na G5 Click inawania tuzo ya Music Website of the Year ambayo nicategory iliyopewa herufi D. Katika category hiyo, vichwa kadhaa vimesimamishwa, DJ Choka (D2), Bongo5 (D3), DJ Fetty (D4), Babkubwa (D5) na G5 Click (D1).

Jinsi ya kupiga kura kwenye category hiyo, unaandika SMS yenye neno TN unaacha nafasi ikifuatiwa na namba yake ya utambulisho (code) halafu unatuma kwenda 15551.


Unaikubali G5? Gonga SMS yenye
maandishi, TN D1 halafu unaitupa kwenda
namba 15551. Pia unaweza kutembelea Nipe5.